Jumanne, 10 Desemba 2019

MLONGE SABUNI

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MLONGE


SABUNI YA MLONGE:

MAHITAJI

1:JUISI YA MAJANI MABICHI YA MLONGE ROBO LITA IWE NZITO.( ROJO)


2: CAUSTIC SODA  NUSU KILO

3: MAFUTA ( MISE, MBOSA, ALIZETI, MAWESE NK) LITA MOJA

4: PAFYUMU LEMON
5: MOULD) UMBO
-------------------
JINSI YA KUTENGENEZA:


HATUA YA 01:
LOWEKA CAUSTIC SODA ½ KILO KTK MAJI LITA 2½ KISHA KOROGA KUELEKEA UPANDE MMOJA KWA MUDA WA NUSU SAA KISHA FUNIKA ACHA KWA MASAA 24.( SOLUTION)


HATUA YA 02:
CHUKUA ROJO LA MAJANI YA MLONGE ROBO CHUJA VYEMA IWE SOFTI SANA KISHA MIMINA KTK MAFUTA LITA MOJA,KOROGA KWA DAKIKA 10 KISHA


HATUA 03:  CHUKUA SOLUTION( CAUSTIC SODA NUSU LITA  ULIYOILAZA KWA MASAA24 , MIMINA KTK MAFUTA  CHANGANYA NA ROJO KISHA KOROGA KUELEKEA UPANDE MMOJA HADI IWE NZITO KAMA UJI , WEKA PAFYUM NUSU KIJIKO  CHA CHAI ,KOROGA DAKIKA 5, KISHA MIMINA KTK UMBO( MOLD)

D ULIYOIANDAA.

BAADA YA MASAA 24 ITOE KTK MOULD IWEKE SAKAFUNI ILI IZIDI KUKAUKA VYEMA.

UTENGENEZAJI WA ICE CREAM ZA UBUYU

UTENGENEZAJI WA ICE CREAM ZA UBUYU

10/12/2019
🍦🍦1.ICE CREAM ZA UBUYU🍦🍦

🍦mahitaji:-
  ubuyu wa unga 1/2
  sukari 3/4
  ngano vijiko vi 2. 
  Rangi yoyote
  maji litre8-10
  vannila/hiliki.

🍦🍦Weka maji, weka ubuyu wa unga nusu kilo.  ubuyu changanya kbs na unga wa ngano vijiko viwili.

🍦🍦bandika jikoni huku ukikoroga mpaka uwe mzito kiasi. weka sukari pia chota hata sehemu tatu ili kuweka rangi tofauti. koroga dk 5
then epua pooza na ufunge kwenye vifuko.

N:B Unga wa ngano unafanya ice cream iwe laini isiwe ngumu.
badala ya ngano unaweza weka corn flour. japo ni gharama kdg

Hivyo ndivyo unaweza kutengeneza ice cream ya ubuyu hatua kwa hatua

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA UNGA

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA UNGA

10/12/2019
JE UNGEPENDA KUJUA
JINSI YA KUTENGENEZA
SABUNI YA UNGA???

   Karibu uungane nami
katika mafunzo haya
leo tutajifunza utengene
zaji wa sabuni ya unga
     Mahitaji
1)Saifonic acid kilo 1
2)Maji nusu lita
3)Soda ash kilo 6
4)Sodium metassilyket
    kilo 1
5)Optic blaitina vijiko 10
    vya chakula
6)Perfume vijiko 2 vya
    Chakula
7)Rangi vijiko 2 vya
    chakula
8)Nanza
 
       Hatua
1)Andaa ndoo ya plastik
kisha tia sallifonic acid
na uanze kukoroga
kuelekea upande mmoja

2)Tia optic blaitina ,nanza
  na perfume na uendelee
kukoroga mpaka vichanganyikane
Vizuri

3)Wakati unaendelea kukoroga
tia soda ash nusu na uendelee kukoroga kisha
tia sodium metasilic yote na ukoroge
mpaka vichanganyikane vizuri

4)Tia rangi vijiko 2 vya chakula,halafu tia maji na koroga vichanganyikane vizuri
baada ya hapo anika sabuni yako kivulini  kwa
kutumia nailon kwa muda wa masaa matatu au manne baada ya hapo sabuni
itakuwa tayari kwa matumizi

Huo ndio utengenezaji wa sabuni ya unga hatua kwa hatua

Asante sana na usiache kunifuatilia katika muendelezo wa mafunzo haya ya utengenezaji wa bidhaa za viwandani

Endelea kutembelea blog hii utafaidika sana
 Kwa mawasiliano zaidi piga
 0675037995

Jumatatu, 15 Aprili 2019